Isaiah 32:17-18


17 aMatunda ya haki yatakuwa amani,
matokeo ya haki yatakuwa utulivu
na matumaini milele.

18 bWatu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani,
katika nyumba zilizo salama,
katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.
Copyright information for SwhKC